RAIS KIKWETE AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME YA YA MAADILI YA UONGOZI
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo, Jumanne, Mei 11, 2010, amewaapisha wajumbe wa Baraza la Maandili ya Uongozi.
Katika halfa fupi iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam, Rais Kikwete amemwapisha Mwenyekiti wa Baraza hilo, Jaji Damian S. Lubuva.
Rais pia amewaapisha wajumbe wawili wa Baraza hilo ambao ni Jaji Hamisi Amir Msumi na Mheshimiwa Gaudiose Tibakweitira.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
11 Mei, 2010
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !